Vocab 2 Flashcards
(30 cards)
1
Q
Flower(s)
A
ua/maua
2
Q
who
A
nani
3
Q
cooked rice
A
wali
4
Q
raw/uncooked rice
A
mchele
5
Q
rice crop
A
mpunga
6
Q
now
A
sasa
7
Q
to read
A
kusoma
8
Q
to cook
A
kupika
9
Q
to go
A
kwenda
10
Q
to be called
A
kuitwa
11
Q
to know
A
kujua
12
Q
to like/love
A
kupenda
13
Q
do you know swahili?
A
je unajua kiswahili?
14
Q
yes i know swahili
A
ndio ninajua kiswahili
15
Q
do you know how to cook pilau?
A
je unajua kupika pilau?
16
Q
yes i know how to cook pilau
A
ndio ninajua kupika pilau
17
Q
do you know how to read swahili?
A
(je) unajua kusoma kiswahili?
18
Q
yes i like to cook rice
A
ndio ninapenda kupika wali
19
Q
he/she likes to read a book
A
anapenda kusoma kitabu
20
Q
what (things)
A
nini
21
Q
what kind/what sort/which
A
gani
22
Q
there is/are
A
kuna
23
Q
is there pilau?
A
kuna pilau?
24
Q
is there tea?
A
kuna chai?
25
what is there?
kuna nini?
26
what kind of food are you cooking?
unapika chakula gani?
27
bread is food
mkate ni chakula
28
i am a doctor
mimi ni daktari
29
papaya is fruit
papai ni tunda
30
papaya and banana are fruits
papai na ndizi ni matunda